Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Sunday, August 11, 2013

PICHA MBALIMBALI ZA SHEIKH PONDA AKIWA HOSPITALINI BAADA YA KUPIGWA RISASI JANA MOROGORO



Sheikh Ponda akiwa katika hospitali ambayo haitajwi jina lake anakoendelea na matibabu kutokana na kile kinachoelezwa kuwa alipigwa risasi jana akiwa mjini Morogoro alikokuwa ahutubie kwenye mhadhara wa kidini.
Begani ni mahali ambako inaelezwa kuwa risasi hiyo ilimpata






Sheikh Ponda leo akiwa HOSPITALINI akisubiri matibabu baada ya kupigwa Risasi huko Morogoro

No comments:

Post a Comment