Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro akinyanyua juu Kikombe cha Zawadi ya Mshindi wa kwanza wa jumla katika Maonesho ya Wakulima-Nane Nane baada ya kukabidhiwa na Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Iddi katika Kilele cha sherehe za Maonesho ya Nane Nane Kitaifa, yaliyofanyika Uwanja wa Nzuguni, Dodoma.(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
3 months ago
No comments:
Post a Comment