Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Saturday, February 8, 2014

SAMSON NTAHOGOLA ADAKWA NA WANANCHI AKIWA ANAWANGA...CHECK HAPA

 

Picha ya muwangaji aliyekamatwa kijiji cha mkongoro bwana SAMSON NTAHOGOLA aliyekamatwa juzi akiwanga.Jana majira ya saa tano asubuhi polis kutoka kituo kikuu cha polis mkoa wa kigoma walifika eneo la tukio na kuondoka na muwangaji huyo.Aidha bwana SAMSON alishuhudiwa na mamia ya watu huku akiwa amevaa chupi na kandambili tu.Kubwa kuliko jamaa huyo alisafirishwa kupelekwa kituo cha polis akiwa amevaa chupi tu na huku ameshikilia kandambili(ndala)mkononi.

No comments:

Post a Comment