Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Friday, February 8, 2019

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 08.02.2019: Rashford, Ginter, Kante, Mourinho, Coutinho, Grimaldo, Rugani

Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Manchester United Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 21, yupo katika mazungumzo ya kina kuhusu kuimarisha mkataba wake ambao huenda ikachangia kuongezwa kwa mshahara wake kwa zaidi ya mara mbili na mkubaliano ya thamani ya £200,000 kwa wiki katika mkataba wa muda mrefu(Star)
Tottenham na Arsenal wanamuangalia beki wa kati wa Borussia Monchengladbach kutoka Ujerumani Matthias Ginter, mwenye umri wa miaka 25. (Sky Sports)
Huenda Paris St-Germain ikatafuta kumsajili mchezaji wa kiungo cha kati wa Chelsea N'Golo Kante, mwenye umri wa miaka 27, katika msimu w a joto. (Le10 Sport, kupitia Sun)

No comments:

Post a Comment