Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Wednesday, May 7, 2014

UNAJUA SIFA ZA MUME MTARAJIWA WA JOKATE; SOMA HAPA


Na Gabriel Ng’osha

MTOTO mzuri kunako anga la watangazaji Bongo, Jokate Mwegelo ameibuka na kuanika sifa za mwanaume ambaye anafaa kuwa mume wake.


Mtoto mzuri kunako anga la watangazaji Bongo, Jokate Mwegelo. Akipiga stori na paparazi wetu juzi jijini Dar, Jokate alisema anapenda mwanaume ambaye atajua kutafuta fedha kwa nguvu zote, awe anajua kubembeleza na awe na nidhamu kwa wazazi wake.

“Sifa ya mume ninayemtaka, anapaswa kuwa mtafutaji wa fedha, sipendi mwanaume asiyependa kutafuta, awe anajituma kwa kazi zake na kwa mpenzi au familia yake na pia ajue kunibembeleza,’’ alisema Jokate. 
 

No comments:

Post a Comment