Hawa ndio Mr & Miss CBE 2011/2012, Jovin Joseph akiwa ndie Mr CBE na Lizzy S. Minja akiwa ndie Miss CBE, ikiwa mpaka saizi wameshikilia taji zao. Wakisema mwaka huu watakabidhi taji hizo kwa wale watakao chukua Mr&Miss CBE ombi lao ni kuwa watu wajitokeze kwa wingi kugombea Mr&Miss CBE Dodoma kwa mwaka 2014/2015
Wakiwa na wadau tofauti tofauti
No comments:
Post a Comment