Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Tuesday, February 4, 2014

KESI YA CHRIS BROWN YA KUMSHAMBULIA MTU YATUPIWA MAHAKANI.....CHECK HAPA


2

Chris Brown akiambatana na girlfriend wake Karrueche Tran pamoja na wakili wake wameingia kwenye chumba cha mahakama huko L.A baada ya ushahidi wa kesi inayomkabili kupitiwa.
Kesi hiyo ilikuwa inasema kwamba Chris Brown alimshambulia mtu mmoja huko D.C na waendesha kesi hiyo walisisitiza kwamba tabia ya Chris Brown ya kufanya fujo na kushambulia watu inaendelea kukua na kutokea mara nyingi na inaongeza hatari kwa jamii.
Licha ya mambo yote kusikilizwa na jaji James Brandlin hakukubaliana na hayo mawazo ambayo yalitaka C Brown afungwe jela. Mwisho wa kesi jaji alisema ni bora Chris Brown aendelee na siku tisini za rehab for anger management kuliko kumuweka jela.
3
4
1


No comments:

Post a Comment