HII NDIO HABARI INAYOHUSIANA NA UJENZI WA MAJENGO BUNGENI DODOMA
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni
ya ujenzi inayokarabati na kufanyia marekebisho ukumbi wa bunge mjini
Dodoma tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba baadaye mwezi huu.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akikagua sehemu ya kukalia katika Ukumbi wa Bunge
mjini Dodoma alikotembea kukagua maendeleo ya ukarabati na kufanyiwa
marekebisho tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba baadaye mwezi
huu.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa sehemu mbalimbali za majengo ya Bunge
jijini Dodoma alikotembea kukagua inayokarabati na kufanyiwa
marekebisho tayari tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba
baadaye mwezi huu.
No comments:
Post a Comment