Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Tuesday, November 26, 2013

NEWS......UNADHANI POST HII YA DIRECTOR ADAM JUMA YENYE MAJIBU MAKALI NI BIFU KATI YA DIRECTOR WA VIDEO BONGO ADAM JUMA NA NISHER ISOME HAPA ......!!

Ktika  instagram account inayoaminika kuwa ni ya Adam Juma, director bora wa video na kazi za wasanii Tanzania kumekuwa na post yenye muonekano wa saini ya director Nisher ikiwa na maneno haya. "I m Not Next Level, I M A New Game' huku tukijua kuwa brand name ya Adam Juma inayompa heshima kila siku kwa kazi bora ni Next Level. Fuatilia Hapa





Post hiihaijaonekana kwenye account ya Nisher kwa sasa ila watu wanaofatilia account yake ta facebook, instagram na whatsup wanasema ilikuwepo kote na ameitoe hivi karibuni. 

Tunafahamu kuwa Nisher ameonekana kama Replacement ya Adam Juma au kimbilio la wasanii wanapotaka video bora kwa sasa hapa Tanzania baada ya Adam kusitisha kazi hii. Ila pia wasanii wamekuwa wakienda sana Kenya kufanya kazi na Ogopa kitu kinachopelekea mashabiki kuona bado nafasi ya Adam haijazibwa.

Baada ya hii post shabiki wa Nisher alitia neno hapo kuhusu ubora wa Nisher.




No comments:

Post a Comment