Pages

Ads 468x60px

LIKE THIS PAGE FIRST.

Friday, October 4, 2013

Lile gari alilokuwa anaendesha Mr Nice sasa hivi kapewa Baby Madaha


Baby Madaha ambaye hivi sasa yupo chini ya record label ya Candy n Candy ametoa picha ambazo zinamuonyesha akiwa kwenye gari ambalo amepewa na record label hiyo ambapo according to Baby ni kwamba hili gari ambalo alikuwa anaendesha Mr Nice kipindi kile, sasa hivi amepewa yeye ikiwa ni sehemu ya mkataba wake.

Source:MILLARD AYO

No comments:

Post a Comment